• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

RC MTANDA ATETA NA WATUMISHI KWIMBA,ASISITIZA NIDHAMU KAZINI

Posted on: June 6th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Juni 06, 2024 amezungumza na watumishi wa Halmashauri wa Wilaya ya Kwimba na akatumia wasaa huo kutoa dira ya kuwaletea wananchi maendeleo kupitia majuk doumu yao kuwa ni uzingatiaji wa nidhamu katika kazi.


Akizungumza na watumishi hao kwenye Ukumbi wa Halmashauri, Mtanda amewataka watumishi hao kuacha kuishi kwa mazoea na badala yake wawe na nidhamu ya kuwahi kazini na kujituma ili kuhakikisha wanawatumikia wananchi kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za miongozo.


Aidha, amewataka  watumishi kujenga umoja baina ya taasisi moja na nyingine ndani ya wilaya na kushirikiana kwenye kazi na kuepuka tabia ya ubishani au makundi kazini ili kila mmoja ajue ana wajibu wa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na sio kwa ajili ya mtu fulani na vinginevyo.


Vilevile, amewapongeza kwa ukusanyaji wa Mapato hadi kufikisha shilingi Bilioni 3.5 kutoka Bilioni 2 za siku za nyuma na amewakumbusha kutumia fedha kwa mujibu wa Miongozo iliyopo kwa kutenga 10% za Makundi ya kisheria, 40% za miradi ya maendeleo na kuwahimiza wakusanya mapato kuweka fedha benki.


Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija amesema kuwa upatikanaji wa Maji vijijini kwa sasa ni asilimia 62 na ipo miradi kadhaa ya maji inaendelea kutekelezwa na kwamba itakapokamilika itasaidia wilaya hiyo kufikia asilimia zaidi ya 70 ya upatikanaji maji safi.


Aidha, amebainisha uwepo wa nishati ya umeme kwenye vijiji vyote wilayani huku akifafanua kuwa ukusanyaji wa mapato kupitia TRA wamekusanya zaidi ya Bilioni 2 tofauti na Bilioni 1 waliyoikusanya mwaka uliopita ikiwa ni ongezeko linalotokana na sera nzuri za serikali ya awamu ya sita.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.