• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

SHIRIKA LA VIA AVIATION LATOA MICHE YA MITI LAKI MOJA KWIMBA

Posted on: February 4th, 2025



Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu  Ludigija  awelipongeza shirika la VIA AVIATION kwa kutoa miche ya miti  100,000 kwa lengo la kuunga juhudi za Serikali za kutunza mazingira na kuepukana na mabadiliko ya tabia ya nchi.

"Niwashukuru shirika la VIA AVIATION kwa kutoa miti 100,000 na hapa wametanguliza miche 1500, mmefanya kazi kubwa sana na Wilaya ya Kwimba tunaendelea na utaratibu wa kupanda miti ambapo zaidi ya miti laki saba imeshapandwa maeneo mbalimbali kwenye taasisi na maeneo mengine, tuwaombe muendelee kuleta miti ili tubadirishe Kwimba yetu iwe ya kijani" Ludigija

Mkuu huyo amewataka Walimu na wanafunzi kusimamia miti iliyopandwa ili ikue na lengo la kuhifadhi mazingira litimie. Pia amemuomba Mkurugenzi  wa shirika hilo kuendelea kuleta miche ya miti ya matunda na mbao ili wananchi waendelee kupanda hatimaye Kwimba iwe ya Kijani.

Akikabidhi miche hiyo Mkurugenzi wa shirika la VIA AVIATION  Bi. Susan Mashibe ameahidi kuendelea kushirikiana na Wilaya ya Kwimba katika utunzaji wa mazingira kwa kutoa miti mingi zaidi pale itakapohitajika " mimi ni jamii ya kifugaji kwahiyo najua tunapenda kukata miti kwahiyo tumeona tuanze na Kwimba Hungumalwa pia tunajua ndege zinaharibu mazingira hivyo tumeona ni vyema kupanda miti ili kulinda mazingira yetu"

Aidha Mkurugenzi  huyo amewashauri wanafunzi kupenda masomo na kuongeza juhudi katika masomo ili waweze kutimiza ndoto zao kama yeye alivyokazana katika masomo hadi akawa Rubani.

Naye Mkuu wa Shule ya Sekondari Hungumalwa  amelishukuru Shirika hilo  kwa kuona umuhimu wa kupeleka miti shuleni hapo " tunaishukuru hii taasisi kwa kuichagua Shule yetu kuwa eneo la uzinduzi wa program yao ya kupanda miti Wilayani Kwimba" Kudera

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.