• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

TUNATAKA WANAWAKE WAMILIKI UCHUMI KUPITIA MIKOPO HII YA ASILIMIA KUMI

Posted on: October 24th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe Ng'wilabuzu Ludigija amewataka wanawake,vijana na watu wenye ulemavu kwenda kutumia mikopo iliyotolewa kwa malengo yaliyokusudiwa ili waweze kuinuka kiuchumi na hasa amesisitiza kuwa Serikali inataka wanawake wamiliki uchumi kupitia mikopo ya asilimia kumi ya mapato ya ndani ya Halmashauri.

Aidha amewasisitiza vijana waliopata mikopo kwenda kujikita kwenye biashara ili maendeleo yaonekane katika maeneo wanayoishi, pia amewataka kuhakikisha faida wanayopata wanaiendeleza ili biashara zao zikue zaidi.

Amesisitiza kuwa fedha hiyo siyo hisani bali ni mkopo hivyo ni lazima kurejeshwa Halmashauri ili na watu wengine waweze kupata mikopo hiyo

Pia amewataka kuepuka ushauri mbaya ambao unaweza kupelekea wote waliopata mikopo kushindwa kutimiza yale yaliyokusudiwa

" unajua fedha inaushawishi msije mkabadirisha mpango kutokana na ushawishi kutoka kwa watu, kafanyeni biashara mlizopanga kufanya"

Pia amewataka kuwa waaminifu katika kurejesha mikopo hiyo ili watu wengine ambao bado hawajapata mikopo waweze kupata

hii ni mikopo isiyo na riba ni tofauti kabisa na mikopo mingine maana hii haina riba kwahiyo itumieni mikopo hii kwenda kutimiza malengo mliyopanga"

Aidha amewataka wanawake waliopata mikopo hiyo kutokabidhi fedha kwa wenza wao badara yake wakafanye biashara ili waweze kujipatia kipato

"tunajua kunawanawake wanachukua mikopo hii kwa migongo ya waume zao msifanye hivyo, kwenye fedha hakuna kuaminiana, fedha mnayopewa mkafanye biashara ili muweze kurejesha kwa wakati"

Akiwasilisha taarifa ya mikopo hiyo Kaimu Mkuu wa Idara ya maendeleo ya Jamii Wivina Biyabato amesema jumla ya vikundi 18 vimekidhi kupewa mikopo ambapo wanawake ni vikundi 10, vijana vikundi 5 na walemavu vikundi vitatu ambapo jumla ya shilingi 119M zimetolewa kwa vikundi hivyo.

Pia amewataka wote waliopata mikopo kwenda kuwa mabalozi kwa watu wengine ili waweze kuona umuhimu wa kuomba mikopo hiyo kwa maendeleo yao.

Nao wanawake,vijana na watu wenye ulemavu waliopata mikopo hiyo wameahidi kwenda kufanya biashara na kuendeleza ujasiliamari, pia wameahidi kurejesha fedha hizo kwa wakati.



Matangazo

  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAASWA KUZINGATIA SHERIA NA TARATIBU ZA UCHAGUZI

    October 26, 2025
  • TUNATAKA WANAWAKE WAMILIKI UCHUMI KUPITIA MIKOPO HII YA ASILIMIA KUMI

    October 24, 2025
  • WANAFUNZI WALIOMBEA TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    October 19, 2025
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    October 18, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.