• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WALIMU WAKUU WATAKIWA KUACHA KUFANYA KAZI KWA MAZOEA

Posted on: December 7th, 2022


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Bi. Happiness J. Msanga amewataka Walimu Wakuu kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zinazoongoza kazi zao.


Ameyasema hayo jana tarehe 7,Disemba 2022 katika kikao cha robo mwaka cha Walimu wakuu kilichofanyika katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Ngudu.

“ acheni kufanya kazi kwa mazoea, nendeni mkabadirike sisi ni watumishi wa umma lazima hilo mlitambue kuwa nyie ni kiyoo katika jamii kwahiyo msidharirishe utumishi wenu, waambieni na Walimu mnaowasimamia”


Akisisitiza nidhamu,uwajibikaji na suala la kutunza siri  amewataka Walimu kuwa na falagha siyo kuweka wazi kila kitu hata ambayo hayatakiwi kuwekwa wazi.


Vilevile walimu Wakuu wameelekezwa kuanzisha mashamba lishe katika Shule zao ili kuboresha Afya za wanafunzi kwa kuwapatia chakula Shuleni

“nendeni mkaanzishe mashamba ya lishe mkalime mahindi lishe, viazi lishe na mbogamboga ili visaidie kupatikana kwa chakula shuleni lakini mkawaelimishe na wazazi wa wanafunzi juu ya umuhimu wa chakula shuleni” amesema Msanga


Katika kikao hicho Walimu Wakuu wametakiwa kusimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Shule zao, wamesisitizwa kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa


“simamieni miradi ya maendeleo kwa umakini, sina urafiki na mtu anayecheza na miradi ya maendeleo sitaona shida kumchukulia hatua mtu yeyote atakayeharibu miradi ya maendeleo” amesema Msanga


Aidha Mkurugenzi huyo ametumia kikao hicho kuwapongeza Walimu ambao Shule zao zimefanya vizuri katika matokeo ya darasa la saba wakiongozwa na Shule ya msingi Hungumalwa,Kakora na shule nyingine.

Pia ametumia kikao hicho kuwataka Walimu ambao shule zao zimekuwa za mwisho kwenye matokea ya darasa la saba kuongeza bidii ili matokea ya mwaka ujao wafanye vizuri zaidi. Shule hizo ni Kijida,ng’uliku,Dodoma,Mhalo na Shule nyingine.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.