• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WANAFUNZI WALIOMBEA TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Posted on: October 19th, 2025


Ibada maalumu ya kuombea Taifa la Tanzania kuelekea uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika 29, Oktoba 2025 imefanyika leo katika shule ya Sekondari Ngudu ambapo wanafunzi wakiongozwa na Mkuu wa Shule hiyo Mwalimu Wilbard Mchele wamemuomba Mungu aendeleze amani, umoja na mshikamano

" sisi kama Taifa tunatakiwa tuombe Mungu atusimamie na kutupatia amani katika kipindi hiki cha uchaguzi na baada ya uchaguzi, kwahiyo tuombe na tunaamini uchaguzi utafanyika salama" amesema Mchele

Aidha Mkuu huyo amewataka wanafunzi wote kwenda kuwa mabalozi kwa kuwahamasisha wazazi wao na walezi wao kwenda kupiga kura siku ya uchaguzi ili kuweza kupata viongozi bora watakaoleta maendeleo ya Taifa kwa ujumla.

Ibada hiyo imeongozwa na mwinjilist Mhandisi Alistides Leopord ambaye amewaasa wanafunzi hao kuwa na tabia nzuri " elimu bila tabia njema siyo kitu, mnatakiwa kumpenda Mungu ili awapatie hekima ya kuchagua kutenda matendo mema" amesema

Mhandisi Leopord amesisitiza kuwa vijana hao wanapaswa kuongozwa na Mungu katika kufanya maamuzi hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi Mkuu.

Wanafunzi walioshiriki ibada hiyo wameeleza jinsi walivyojiandikisha na wako tayari kupiga kura kuwachagua viongozi wanaowataka

" ibada ya leo imetuunganisha madhehebu yote na tumemuomba Mungua aendeleze amani ya Taifa letu,pia sisi tuko tayari kwenda kupiga kura ifikapo Oktoba 29,2025 na tunawashauri vijana wenzetu kwenda kupiga kura ili tupate viongozi tunaowataka" amesema Michael



Matangazo

  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAASWA KUZINGATIA SHERIA NA TARATIBU ZA UCHAGUZI

    October 26, 2025
  • TUNATAKA WANAWAKE WAMILIKI UCHUMI KUPITIA MIKOPO HII YA ASILIMIA KUMI

    October 24, 2025
  • WANAFUNZI WALIOMBEA TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    October 19, 2025
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    October 18, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.