• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WANANCHI WA KWIMBA WAHAMASISHWA KUCHAGUA VIONGOZI BORA WA SERIKALI ZA MITAA

Posted on: November 23rd, 2024


 Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija  amewahamasisha Wananchi kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi wa Serikali za mitaa  utakaofanyika Novemba 27,2024.


Hamasa hiyo imefanyika leo  tarehe 23,Novemba ,2024 kwenye viwanja vya Kwideco ambapo bonanza la michezo mbalimbali limefanyika.


" wananchi wote tujitokeze kupiga kura siku ya uchaguzi ili tukawachague viongozi tunaowataka ambao watahamasisha maendeleo katika maeneo yetu" amesema Ludigija


Naye msimamizi wa Uchaguzi  Dkt Amon Mkoga ametumia wasaa huo kuwahamasisha wananchi wote waliojiandikisha wajitokeze kupiga kura


Amesisitiza kuwa elimu ya mpiga kura imetolewa kwa wananchi kupitia njia mbalimbali  ikiwemo, vyombo vya habari, mikutano, mitandao ya kijamii, vipeperushi na matangazo.


" tunawahamasisha kila mwananchi aliyejiandikisha awe tayari kwenda kupiga kura, elimu imetolewa hivyo tunaamini wananchi watapiga kura"  amesema Mkoga


Wananchi  walioshiriki bonanza hilo wameeleza utayari wao wa kushiriki uchaguzi huo " lazima nikapige kura siku hiyo maana natamani kiongozi ninaye mtaka ndio awe mshindi" amesema Justina Nyanda


Katika bonanza hilo hamasa imetolewa kupitia mchezo wa mpira wa miguu ambapo timu iliyoibuka mshindi ( Bodaboda FC )  imejinyakulia Mbuzi na timu iliyoshika nafasi ya pili ( Modo FC ) imepata mbuzi, na washindi wa michezo mingine wamepata zawadi mbalimbali.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.