• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WANANCHI WA SHIGANGAMA WAIOMBA SERIKALI KUWAFIKISHIA HUDUMA YA MAJI

Posted on: October 10th, 2023



Kijiji cha Shigangama Kilichopo Kata ya Shilembo ni miongoni mwa vijiji ambavyo havina visima Wala mabomba ya maji, Wananchi wa Kijiji hicho wametoa kero hiyo mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mheshimiwa Ng'wilabuzu Ludigija leo Oktoba 10,2023 wakati akisikiliza na kutatua kero za wananchi wa Kata hiyo


" tunateseka sana kupata maji tunatembea zaidi ya kilomita tisa kwenda kutafuta maji, tunamuomba Rais atusaidie tupate visima au maji ya ziwa Ili tuepukane na adha hii" amesema Mwalu Joseph


Kupitia kero hiyo Mkuu wa Wilaya amewataka RUWASA kutatua kero hiyo kwa kuangalia upatikanaji wa maji kwa kuyavuta kutoka maeneo jirani au kuchimba visima katika Kijiji hicho


" Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kuleta fedha za miradi ya maji Ili kumtua mama ndoo kichwani sasa niwatake RUWASA muangalie uwezekano wa kufikisha maji hapa" Ludigija


Aidha Mkuu wa Wilaya amefika Kata ya Ilula ambapo amekutana na changamoto ya maji kukatika zaidi ya wiki mbili hapo ametatua changamoto hiyo ikiwa ni pamoja na kuwaelekeza wasimamizi wa maji kutengeneza mashine iliyokuwa imeharibika na ameondoka eneo hilo baada ya maji kupatikana.


Katika ziara hiyo Mheshimiwa Ludigija ametatua kero mbalimbali ikiwa ni pamoja na migogoro ya ardhi, upatikanaji wa umeme na amewahamasisha wananchi kuanzisha miradi ya maendeleo kama ujenzi wa Zahanati, nyumba za Walimu na miradi mingine


" mnahitaji Zahanati lakini bado hamjaanzisha hata boma niwashauri muanzishe jengo kama vijiji vingine wanavyofanya ili muweze kuwekwa kwenye bajeti ya ukamilishaji" Ludigija

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.