• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WANANCHI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

Posted on: October 18th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija amehamasisha Wananchi kushiriki uchaguzi kwa kuhakikisha kila mtu anatimiza haki yake ya kupiga kura

"Nitumie nafasi hii kuwaalika wananchi wote wa majimbo haya kuwa uchaguzi ni vema kushiriki kupiga kura ili tuchague viongozi sahihi,tutumie muda huu uliobaki kuhudhuria kampeni na kusikiluza sera ili tukachague viongozi sahihi" amesema Ludigija

Mheshimiwa Ludigija amewahakikishia wananchi kuwa siku ya uchaguzi kutakuwa na usalama wa kutosha hivyo wananchi wote wajitokeze kupiga kura kuchagua viongozi watakaohamasisha maendeleo ya Taifa.

Pia amewataka wachezaji wote walioshiriki bonanza hilo kutoka Halmashauri zote za Mkoa wa Mwanza kuhakikisha wanacheza michezo yote vizur bila kusababishiana majeraha yanayoweza kuwasababishia kushindwa kufanya kazi nyingine au kushiriki uchaguzi

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Dkt.Amon Mkoga ametumia wasaa huo kuwahimiza wananchi wote kuendelea kuhamasishana ili wananchi wote wajitokeze kupiga kura ili kutimiza haki yao yamsingi

" niwahamasishe kila mtu siku ya uchaguzi ampitie ndugu yake au rafiki yake kwenda kupiga kura, tuhamasishane wote tushiriki kuwachagua viongozi wetu" amesema Mkoga

Katika bonanza hilo wameshiriki wananchi wa Kwimba na wanamichezo kutoka Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Manispaa ya Ilemela, Halmashauri ya Magu,Misungwi,Halmashauri ya Ukerewe,Halmashauri ya Buchosa na mwenyeji Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba.



Matangazo

  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAASWA KUZINGATIA SHERIA NA TARATIBU ZA UCHAGUZI

    October 26, 2025
  • TUNATAKA WANAWAKE WAMILIKI UCHUMI KUPITIA MIKOPO HII YA ASILIMIA KUMI

    October 24, 2025
  • WANAFUNZI WALIOMBEA TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    October 19, 2025
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    October 18, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.