• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WANANCHI WASHAURIWA KUTUNZA CHAKULA

Posted on: April 14th, 2025


Wananchi wameshauriwa kutunza vyakula kwaajili ya matumizi ya familia zao ili kujiepusha na madhara ya njaa yanayoweza kujitokeza kutokana na wananchi hao kuuza mazao mengi ukizingatia na uzalishaji haukuwa mkubwa kutokana na hali ya hewa.


Ushauri huu umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe Ng'wilabuzu Ludigija  katika kikao cha tathmini ya lishe  kilichofanyika leo April 14,2025 ambapo amewaelekeza watendaji wa kata kwenda kuwahamasisha wananchi  kuacha kuuza mazao yote waliyovuna badala yake watunze akiba kwaajili ya matumizi ya familia zao


"Kawambieni wananchi wasiuze vyakula vyote watunze akiba, Ofisi ya Mkuu wa Wilaya haina shamba harafu ni aibu kwa Mwananchi wa Kwimba kulia njaa wakati chakula kimepatikana hatakama hali ya hewa haikuwa nzuri sana lakini bado chakula kilichopatikana kisiuzwe chote harafu wakaanza kuhangaika" amesema Ludigija


Katika kikao hicho Mkuu wa Wilaya  amewasisitiza watendaji kuendelea kusimamia upatikanaji wa chakula shuleni ili wanafunzi wote wapate chakula " tunataka wanafunzi wote wapate chakula shuleni  ili tutengeneze kizazi chenye nguvu, na uwezo wa kufikiri hatutaki kuwa na watoto wenye utapuamlo" Ludigija 


Aidha amemtaka Afisa elimu Sekondari kuongeza usimamizi katika Shule ya Sekondari Nyamilama  ambayo imeonekana kuwa na wanafunzi wengi,  ili kuhakikisha wanafunzi wanapata lishe bora na wanakaa katika mazingira salama na wezeshi kujifunza


Akiwasilisha taarifa za Lishe Mratibu wa Lishe Bi. Emma Kalolo  amesema Halmashauri inaendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kuwalisha watoto chakula  kinachozingatia makundi yote ya vyakula ili kuondoa tatizo la utapiamlo na kuwahimiza wanawake wajawazito kuhudhuria kliniki  kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

    May 18, 2025
  • WAUGUZI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

    May 12, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEIMOSI YAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 01, 2025
  • MKURUGENZI AWATAKA WATUMISHI WOTE KUFANYA KAZI KWA UPENDO NA UADILIFU

    April 28, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.