• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WANAWAKE WAJITOKEZA KUPIMA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

Posted on: November 25th, 2020

Serikali imedhamiria kuondoa tatizo la Saratani kwa wanawake,kundi kubwa la wanawake wamejitokeza katika hospitali ya Ngudu na Kituo cha Afya Mwamashimba Wilayani Kwimba kupima Saratani ya mlango wa kizazi leo tarehe 24/11/2020.

Katika zoezi hilo Mtaalamu kutoka Wizara ya Afya Kitengo cha Mama na Mtoto Bi. Basilisa Sedrick Mdonde amesema Serikali inalenga kuwapima wanawake wote Nchi nzima japo Wizara imeanza na Mikoa miwili tu baada ya hapo wataendelea na Mikoa mingine. Bi Basilisa amesema Saratani ya Mlango wa kizazi ni Saratani inayoongoza kwa vifo vingi vya wanawake hapa Tanzania hivyo utaratibu wa kupima utasaidia kupunguza vifo hivyo kwani Saratani hii ikigundurika mapema inatibika.


Bi. Basilisa Sedrick Mdonde ( kulia) na Ms.Joan Chamungu ( kushoto)


Vilevile katika zoezi hilo alikuwepo Ms.Joan Chamungu Mkurugenzi wa TNW(Tanzania Network of Women Living With HIV/AIDS ameeleza kuwa matibabu ya Saratani ya Mlango wa kizazi hutolewa kulingana na hatua za ugonjwa na hali ya mgonjwa.Amesema huduma za matibabu hutolewa kwa njia ya upasuaji katika hatua za mwanzo za ugonjwa,mionzi,Dawa za Saratani au mionzi na dawa kwa pamoja.Vilevile amesisitiza kuwa wanawake wanapoona dalili zifuatazo:- kutokwa na damu baada ya kujamiana,kutokwa na uchafu sehemu za siri,kutokwa na majimaji yenye harufu mbaya,kutokwa na usaha sehemu za siri,kutokwa na damu sehemu za siri isiyo na hedhi,maumivu ya kiuno na maumivu ya tumbo chini ya kitovu wawahi Hospitali kwani hizo ni dalili za Saratani ya Mlango wa kizazi.


Wanawake  waliojitokeza kupima wameshauliwa kuendelea kuchukua tahadhari za kujikinga na ugonjwa huo kwa kutojamiana na wanaume wengi kwani kirusi cha ugonjwa huo kinasambaa kwa njia ya kujamiana na mtu mwenye kirusi hicho, hivyo wanawake wameshauliwa kupenda na kulinda Afya zao.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.