• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAASWA KUZINGATIA SHERIA NA TARATIBU ZA UCHAGUZI

Posted on: October 26th, 2025


Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Sumve Bi. Rozalia Magoti akitoa mafunzo kwa wasimamizi wa vituo vya kupigia kura amewataka kufanya kazi kwa kuzingatia sheria na taratibu zinazoongoza shughuli za uchaguzi.

Ameyasema hayo leo 26,Oktoba 2025 wakati wa kuwaapisha wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa vituo vya kupigia kura ambapo wasimamizi 2034 wa majimbo ya Kwimba na Sumve wamepata mafunzo katika vituo mbalimbali

"Kafanyeni kazi kwa kuzingatia sheria, tumieni nyaraka hizi tulizowapa kusoma na kuelewa ili mkajiepushe kuwa vyanzo vya malalamiko kutoka kwa vyama vya siasa, kwa wananchi na kwa mawakala"

Amewasisitiza kufanya kazi kwa ushirikiano ili kufanikisha uchaguzi katika vituo vyote, pia amesisitiza umakini na lugha nzuri zenye staha zitumike kujibu watu watakaokuwa na maswali ya uelewa.

Katika mafunzo hayo ameshiriki Msimamizi wa Uchaguzi wa Majimbo ya Kwimba na Sumve Bi. Jane Mallongo ambaye amewataka wote waliopata mafunzo kwenda kuzingatia yale waliyofundishwa ili kuhakikisha kazi inafanyika kwa usahihi.

Naye Afisa Uchaguzi Bi. Grace Ishengoma amesisitiza wasimamizi wote kufika kwenye vituo vya kupigia kura kwa wakati ili itakapotimu saa moja asubuhi ya tarehe 29,Oktoba 2025 zoezi la kupiga kura lianze.

Wasimamizi walioshiriki mafunzo hayo wameahidi kwenda kufanya kazi kulingana na taratibu walizoelekezwa

" mafunzo haya yatatusaidia kufanya kazi vizuri,nitumie wasaa huu kuwahamasisha wananchi wote waliojiandikisha wafike kwenye vituo vya kupigia kura tutawahudumia vizuri" amesema Mwalimu Maduka


Matangazo

  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAASWA KUZINGATIA SHERIA NA TARATIBU ZA UCHAGUZI

    October 26, 2025
  • TUNATAKA WANAWAKE WAMILIKI UCHUMI KUPITIA MIKOPO HII YA ASILIMIA KUMI

    October 24, 2025
  • WANAFUNZI WALIOMBEA TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    October 19, 2025
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    October 18, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.