• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WATENDAJI WA KATA WAKABIDHIWA PIKIPIKI

Posted on: February 22nd, 2023

Watendaji wametakiwa kutumia pikipiki Kwa kazi zilizokusudiwa ikiwa ni pamoja na ukusanyaji wa mapato, usimamizi wa miradi na kazi nyingine. Haya yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Bi.Happiness Msanga Leo Februari 22,2023 wakati akikabidhi  pikipiki tisa Kwa Watendaji wa Kata zilizo pembezoni na zinazoongoza Kwa ukusanyaji wa mapato.


" hamjapewa  pikipiki kwenda kufanya biashara ya boda boda, katumieni usafiri huu kurahisisha kazi zenu za kukusanya mapato, kusimamia utekelezaji wa miradi na kazi nyingine zote za Serikali" amesema Msanga


Aidha watendaji hao wametakiwa kutunza vyombo hivyo Ili vitumike Kwa muda mrefu na Kwa malengo yaliyokusudiwa, wamesisitizwa kutumia Kwa uangalifu kwani vyombo hivyo ni mali ya Serikali hivyo atakayeharibu au kupoteza atachukuliwa hatua Kwa mujibu wa Sheria.


Watendaji hao wamesisitizwa kuongeza juhudi katika kusimamia  mashamba darasa yanayotarajiwa kuanzishwa kwenye Kata zao kwani hawatakuwa na kisingizio cha kushindwa kufika mashambani kwa kigezo cha umbali.


Nao watendaji wameishukuru Serikali Kwa kuona umuhimu wa kuwapatia usafiri utakaorahisisha utendakazi wao "tunaishukuru Serikali Kwa kutupatia pikipiki ambazo zitaturahisishia kazi zetu hasa ukusanyaji wa mapato maana wengine vijiji tunavyosimamia viko mbalimbali sana kwahiyo bila usafiri inakuwa ngumu kufika maeneo yote Kwa wakati, kwahiyo kupitia hizi pikipiki kazi zetu zitaboreshwa zaidi" amesema Salum.M  Salum Mtendaji Kata ya Hungumalwa

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.