• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WATENDAJI WATAKIWA KUHAMASISHA LISHE BORA KWA WANANCHI

Posted on: October 23rd, 2024


Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija  amewataka watendaji wa Kata kuwahamasisha wananchi  kuzingatia ulaji bora wa vyakula vyenye lishe hasa wanawake wajawazito na watoto.


Ameyasema hayo kwenye kikao cha tathmini ya lishe kilichofanyika leo 23 Oktoba  2024 ambapo tathmini imeonyesha kuwa baadhi ya kata bado ina  watoto wenye utapiamlo


" watendaji nendeni mkawahamasishe wananchi  kula chakula kinachozingatia makundi yote ya vyakula, waelekezi wananchi kutumia vyakula vinavyopatikana katika maeneo yao" Ludigija 


Aidha Mkuu huyo amesisitiza wanawake wajawazito washauriwe kuhudhulia kliniki na  wasisitizwe kuzingatia maelekezo yote wanayopewa kliniki ikiwa ni pamoja na kumeza dawa za kuongeza damu ili kuepuka kupata watoto wenye magonjwa mbalimbali kama kichwa kikubwa, mdomo wazi na magonjwa mengine.


Akiwasilisha taarifa ya lishe ya robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2024/25 Ema Kalolo Afisa Lishe amesema Shule zote zinatoa chakula kwa wanafunzi japo siyo wanafunzi wote wanaopata chakula kwani wengine wazazi wao hawajachangia vyakula kwaajili ya watoto wao


" niwaombe watendaji, walimu na maafisa Elimu Kata muendelee kuwahamasisha wananchi kuchangia vyakula kwaajili ya watoto shuleni, maana watoto ambao hawapati chakula wanapata wakati  mgumu kushinda na njaa shuleni"


Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Dkt.Amon Mkoga  ametumia wasaa huo kuhamasisha elimu iendelee kutolewa ya lishe kwa wananchi  hasa wajawazito, pia amewataka watendaji kusimamia miradi inayotekelezwa kwenye maeneo yao na kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

    May 18, 2025
  • WAUGUZI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

    May 12, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEIMOSI YAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 01, 2025
  • MKURUGENZI AWATAKA WATUMISHI WOTE KUFANYA KAZI KWA UPENDO NA UADILIFU

    April 28, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.