• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WATUMISHI AJIRA MPYA WAASWA KUZINGATIA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

Posted on: November 24th, 2025


Mkuu wa Idara ya Utawala Bi. Jane Mallongo amewataka watumishi kuzingatia taratibu,sheria na kanuni za utumishi wa umma huku akiwasisitiza kutekeleza majukumu yao kwa weledi.

Ameyasema hayo leo 24 Novemba 2025 wakati wa kikao kazi na mafunzo kwa watumishi walioajiriwa hivi karibuni wa Idara ya utawala ambao ni watendaji wa vijiji na Kata

" watendaji wa Kata na Vijiji nyie ni viongozi katika maeneo mlikopangiwa kufanya kazi, nendeni mkatekeleze majukumu yenu kwa weledi, zingatieni kanuni za utumishi wa umma, wahudumieni wananchi kwa upendo na hakikisheni mnatimiza wajibu wenu" amesema Malongo

Bi Jane amewataka watumishi hao kufanya kazi kwa ushirikiano kati yao na watumishi wengine na wananchi wataokwenda kuwahudumia huku akisisitiza kujifunza tamaduni za wananchi wa Kwimba ili waweze kuishi vizuri katika maeneo yao ya kazi.

Aidha amewataka kuzingatia nidhamu na maadili ambapo amewataka kufika kazini kwa wakati, mavazi yenye haiba ya utumishi wa umma na kuhakikisha wanakwenda kuwa chachu ya maendeleo kwa kuhamasisha wananchi kushiriki shughuli za maendeleo.

Katika mafunzo hayo ameshiriki Bi. Khadija Mkelenga Afisa Utumishi ambaye amewataka watumishi hao kujiamini wanapotekeleza majukumu yao, pia amewasisitiza kutoa taarifa kwa viongozi wao wanapopata changamoto katika kazi.

Watumishi hao wameishukuru Serikali kwa kupata ajira, pia wameushukuru uongozi kwa kuona umuhimu wa kuwapatia mafunzo na wameahidi kwenda kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu walizoelekezwa.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2025 KWIMBA November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • KAIMU MKURUGENZI AFUNGUA MAFUNZO YA MPANGO NA BAJETI

    November 27, 2025
  • DAS AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAAFISA UGANI

    November 25, 2025
  • WATUMISHI AJIRA MPYA WAASWA KUZINGATIA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    November 24, 2025
  • SERIKALI YASEMA UPELELEZI UNAENDELEA KUJUA CHANZO CHA MOTO SUMVE

    November 22, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.