• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WATUMISHI WA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI WAHAMIA JENGO JIPYA LA UTAWALA

Posted on: June 30th, 2025



Hayawihayawi sasa yamekuwa, ilikuwa ni shauku ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba kupata ofisi nzuri na zenye ubora.

Shauku yao imetimia lei Juni 30,2025 baada ya watumishi hao kuhamia rasmi kwenye jengo la utawala la Halmashauri hiyo ambalo limejengwa katika Kata ya Ngudu Kijiji cha Icheja

"binafsi nina furaha kubwa kuhamia hapa kwenye hizi ofisi maana ofisi zetu zilikuwa zimechoka sana, lakini hapa kuna hadhi nzuri tunajisika kweli tuko ofisini"
amesema  Mkuu wa kitengo cha Mazingira Deogratias  Makungu

Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Dkt.Amon Mkoga  amewataka watumishi kutumia ofisi hizo vizuri na kutunza miundombinu ya ofisi hizo ili jengo lisiwahi kuchakaa.

Pia amewataka watumishi wote kufika ofisini kwa wakati na kutekeleza majukumu yao ipasavyo bila kutengeneza visingizio.

Aidha Mkurugenzi  Mkoga ametumia wasaa huo kuutarifu umma kuwa kuanzia leo juni 30,2025 huduma zote za Halmashauri zitapatikana katika jengo jipya la Utawala hivyo wananchi wote wanakaribishwa kupata huduma zote.

Kukamilika kwa jengo hili kutarahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi, kwani hawatapata taabu ya kuwatafuta wataalamu maeneo tofauti kama ilivyokuwa hapo awali ambapo ofisi zilikuwa maeneo tofauti kwamfano ofisi ya kilimo na ujenzi

" hapa huduma zitapatika kwa wepesi kwanza hakuna ule usumbufu wa wataalamu kakaa maeneo tofauti hapa watumishi wote tupo eneo moja,  hili ni jambo zuri" amesema Afisa Utumishi Patrick  Lubasha

Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • DC LUDIGIJA AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 02, 2025
  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.