• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WAUGUZI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

Posted on: May 12th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe.Ngwilabuzu Ludigija  amewataka wauguzi kuendelea kutoa huduma bora kwa wagonjwa


"niwapongeze sana kwa shughuli ambazo mmezifanya za utoaji wa huduma kwa wananchi,pia mmefanya usafi wa mazingira hongereni sana" ameyasema hayo leo Mei12,2025 kwenye maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani, ambayo yameadhimishwa katika hospitali ya Wilaya ya Kwimba.


 Mkuu huyo amewasihi kuendelea kufanya kazi bila kuzingatia changamoto wanazokumbana nazo katika kazi hiyo,pia amewasisitiza kwenda kuishi kiapo walichoapa cha kutoa huduma bora


Aidha amewapongeza kwa kutoa zawadi kwa wagonjwa walioko wodini ambapo vitu mbalimbali vimetolewa ikiwa ni pamoja na sabuni za kufanyia usafi


" niwapongeze kwa kazi nzuri, pamoja na changamoto ambazo mmeeleza hapa lakini bado mnatoa huduma vizuri,nazani kwa mara ya kwanza niwapongeze mimi naamini katika kutenda mema na kuwatendea wengine mema, nimekuwa nikija marakwamara Nimefurahia kuona Muuguzi wa chumba cha watoto wachanga mahututi (HDU)  kuna huduma nzuri, wauguzi wale wanahitaji pongezi sana


Mimi pia nimzazi sipendI kusikia vifo vya mama na mtoto na tunaendelea kuwahimiza wajawazito kuwahi hospitali tukitegemea huku wanakuja kupata huduma bora, natamani kiapo mlichokila na maneno yaliyomo humu mkayaishi ili tuibadirishe Wilaya hii"


Pia amewataka kuambizana ukweli bila kuoneana haya pale ambapo muuguzi mmojawapo anatoa huduma mbovu kwa wagonjwa na kusababisha  kuharibu sifa ya wauguzi wote.


Aidha amewataka wauguzi kuwahi kazini kulingana na ratiba zao, pia amewasisitiza kuzingatia taratibu za kukabidhiana wagonjwa ili kuwe na utaratibu mzuri wa matibabu.


Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Dr. Fredrick Mgarula  amewataka kuendelea kuboresha huduma bila kujali changamoto"nawaasa sana tujitahidi kutoa huduma vizuri"


Katika maadhimisho hayo ameshiriki  Kaim Mkurugenzi  Mwlm. Emmanuel Katemi ambaye amewapongeza wauguzi kwa kuipenda kazi yao na amewataka kwenda kutumikia vizuri kiapo walichoapa mbele ya mgeni rasmi, kiapo kinachohimiza uwajibikaji,

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

    May 18, 2025
  • WAUGUZI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

    May 12, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEIMOSI YAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 01, 2025
  • MKURUGENZI AWATAKA WATUMISHI WOTE KUFANYA KAZI KWA UPENDO NA UADILIFU

    April 28, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.