• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

Posted on: May 18th, 2025


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Kassim Majaliwa Majaliwa( MB)  leo 18,Mei 2025 ameweka jiwe la Msingi kwenye jengo la Utawala la Halmashauri ambapo amewaelekeza wasimamizi wa jengo hilo kukamilisha jengo kwa wakati ili Wakuu wa Idara na Vitengo wahamie katika ofisi hizo

Katika ziara hiyo Waziri Mkuu amezindua mradi wa maji Hungumalwa na amekagua maendeleo ya ujenzi wa kituo cha michezo ) Sport Academy) kisha akaongea na Wananchi katika viwanja vya Kwideko Ngudu ambapo ametoa taarifa na maelekezo mbalimbali.


"nimekuja kuwahakikishia kuwa Serikali ya awamu ya sita inaendelea kutekeleza miradi yote ya maendeleo, sasa niwakati wa kuwambia wananchi nini kimefanyika na kinachoendelea kufanyika


Aidha amewataka Wabunge kuendelea kutoa taarifa za mapendekezo ya miradi ambayo bado inahitaji kutekelezwa hapa Kwimba, "nitoe wito kwa waheshimiwa Wabunge kuendelea kutuambia maeneo yanayohita msisitizo au usaidizi wetu kwamfano kwenye eneo la Elimu Msingi na Sekondari na hakikisheni watoto wanaenda Shule.


Mheshimiwa Majaliwa amewataka wazazi kupeleka watoto wao vyuo vya VETA, Malya FDC na Malya Chuo cha michezo ili wapate ujuzi ambao utawasaidia kupata utaalamu mbalimbali ukiwemo utalaam wa michezo.


Pia amewataka Wakurugenzi na Maafisa Elimu kusimamia ufundishaji ili kuongeza ufaulu, pia amesisitiza ikama za walimu shuleni zizingatiwe.


Aidha Waziri Mkuu amewataka Wahandisi wanaosimamia miradi ya maji kuhakikisha wanaongeza juhudi katika kusimamia miradi hiyo ili ikamilika kwa wakati ili wananchi wa Ngudu wapate maji ya kutosha.

 

Katika ziara hiyo ameshiriki Mhe.  Mansour Shanif Mbunge Jimbo la Kwimba ambaye  ameeleza jinsi Serikali ya awamu ya sita inavyotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo miradi ya Elimu,Afya,umeme,barabsra na maji.Pia amemuomba Waziri Mkuu kusaidia mradi wa maji Ngudu kukamilika mapema ili kero ya ukosefu wa maji iishe.


Naye Mbunge wa Jimbo la Sumve amemshukuru Waziri Mkuu kwa kuon

" kwa kitendo hiki cha heshima ulichokifanya cha kuja kwimba kimeimarisha Chama Cha Mapinduzi, naomba kamwambie Mheshimiwa  Rais kuwa tumejipanga kumpa kura za kishindo"

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

    May 18, 2025
  • WAUGUZI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

    May 12, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEIMOSI YAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 01, 2025
  • MKURUGENZI AWATAKA WATUMISHI WOTE KUFANYA KAZI KWA UPENDO NA UADILIFU

    April 28, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.