• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

ZAIDI YA MILIONI 700IMETENGWA KWAAJILI YA MIKOPO YA VIJANA,WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: October 23rd, 2024


Kamati  ya  mikopo ngazi ya Kata wapata mafunzo ya namna ya kusajili vikundi vya mikopo, mafunzo yametolewa na Maafisa maendeleo ya jamii wakiongozwa na Mkuu wa Idara hiyo Bi. Rozalia Magoti. Kamati hizo zimefundishwa kanuni na miongozo inayotumika kutoa mikopo kwa vijana,wanawake na watu wenye ulemavu.


Mafunzo hayo yamefanyika jana Oktoba  22,2024 kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari Ngudu ambapo Watendaji wa Kata, wataalamu ngazi ya Kata na Polisi  Kata wameshiriki mafunzo hayo.


Kikubwa zaidi katika kanuni hizo umri wa vijana umeongezwa ambapo awali vijana waliokuwa wanakopa mikopo waliishia umri wa miaka 35 lakini kwa sasa vijana wanaishia umri wa miaka 45.


Kamati hizo zimetakiwa kwenda kuwahamasisha vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kujitokeza kuchukua mikopo ambapo zaidi ya milioni 700  imetengwa kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba.


Dirisha la mikopo limefunguliwa ambapo elimu imeanza kutolewa kwa viongozi na wananchi ili waone umuhimu wa kuchukua mikopo hiyo kwaajili ya kufanya ujasiliamari utakaosaidia kuinua uchumi wao.


Bi . Magoti amesisitiza kuwa utoaji wa mikopo kwa sasa umerahisishwa  zaidi kwani mikopo itatolewa kwa kikundi japo ndani ya kikundi kila mtu anaweza kuwa na shughuli tofauti " siyo lazima wanakikundi mfanye biashara moja kila mtu anaruhusiwa kuwa na biashara yake lakini mkopo mtapewa kama kikundi"

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.