• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

ZAIDI YA MITI 900 YAPANDWA KATIKA KAMPENI YA "MTI WA MAMA"

Posted on: January 27th, 2025


Katika kuadhimishla siku ya kuzaliwa ya Mheshimiwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt  Samia Suluhu Hassan  Wilaya ya Kwimba imeazimisha siku hii kwa kupanda miti katika Shule ya Sekondari mpya ya Dr. Samia Kata ya Malya.

Ikiwa ni mikakati ya kutunza mazingira na kuungana na Serikali katika kuboresha mazingira kwa kutunza miti siku ya leo Januari  27 imepambwa na " mti wa mama"  ambapo miti  zaidi ya 900  ikiwa ni miti ya matunda na mbao.

" kampeni ya Mti wa Mama itakuwa endelevu" haya yamesemwa na mtendaji wa Kijiji cha Malya wakati akiwasilisha taarifa ya upandaji miti.

Akiwasilisha taarifa hiyo amemshukuru Mheshimiwa  Rais kwa kuleta fedha zaidi ya milioni 500 kwaajili ya ujenzi wa shule mpya katika Kata ya Malya shule ambayo imepewa jina la Dr. Samia, shule hiyo imeanza rasmi mwaka huu ambapo wanafunzi wa kidato cha kwanza wameshaanza masomo.

Mgeni rasmi wa tukio hilo Ndugu Mohamed Ngasinda  Katibu Tawala wa Wilaya ya Kwimba kwa niaba ya Mkuu ya Mkuu wa Wilaya amewataka wanachi wote kuendelea kupanda miti ili kutunza mazingira

" ndugu wananchi lengo la kukutana hapa ni  kupanda miti aina mbalimbali ikiwa nipamoja na miti ya matunda na miti ya mbao ili kuunga mkono juhudi za Rais za utunzaji wa mazingira" Ngasinda

Amesisitiza  wananchi kutunza mazingira kwa kupanda miti na kutumia nishati safi ya kupikia hii itasaidia kuondokana na ukataji wa miti

Mwenyeki wa Halmashauri wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Thereza Lusangija  ametumia wasaa huo kuwahamasisha wazazi kuhakikisha wanafunzi wote wanakwenda Shule bila utoro maana shule imejengwa karibu na makazi yao.

Aidha Mwenyiki wa CCM Wilaya ya Kwimba Mhe. Sabana Lushu amewapongeza viongozi wote waliosimamia ujenzi wa Shule pia amewapongeza kwa kuendelea kutunza mazingira kwa kupanda miti.

Naye Mkurugenzi  wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Dkt.Amon Mkoga  amewataka wasimamizi wa Shule zote kuendeleza utaratibu wa kupanda miti pia amemtaka Mkuu wa Shule hiyo ya Dr. Samia kuhakikisha shule inakuwa matokeo mazuri" Mkoga


Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.