• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

Historia

1.0: Utangulizi

Wilaya ya Kwimba ni moja wapo ya Wilaya kongwe kati ya Wilaya nane za Mkoa wa Mwanza.  Katika kuhakikisha kuwa huduma muhimu zikiwemo za utawala zinasogezwa karibu na wananchi, mwaka 1973 Serikali iliigawa Wilaya ya Kwimba na kuanzisha Wilaya mbili za Kwimba na Magu. Pia mwaka 1996 Wilaya ya Kwimba iligawanywa na kuwa Wilaya ya Misungwi na Kwimba ya sasa.

1.1: Mahali ilipo

Wilaya ya Kwimba ipo kwenye latitudo 2o 45’ na 3o 53’ Kusini mwa Ikweta na longitudo 33o na 33o 30’ Mashariki mwa Meridiani. Kaskazini Wilaya imepakana na wilaya ya Magu, Mashariki inapakana na wilaya ya Maswa, Kusini inapakana wilaya ya Kishapu na Shinyanga Vijijini na upande wa Magharibi imepakana na wilaya ya Misungwi.

1.2: Eneo na Maeneo ya Utawala

Wilaya ya Kwimba ina eneo la kilometa za mraba 3,903, ina Tarafa tano (5), Kata 30, Vijiji 119, Vitongoji 871 na Mamlaka ya Mji Mdogo. Pia ina majimbo mawili (2) ya Uchaguzi wa Bunge na Madiwani ambayo ni Kwimba na Sumve. Makao Makuu ya Wilaya ni Ngudu yaliyo umbali wa kilomita 98 kutoka makao makuu ya Mkoa wa Mwanza.    

1.3: Idadi ya Watu.

Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, wilaya Kwimba ilikuwa na jumla watu 406,509 kati ya hao wanawake 198,096 na wanaume 208,414. Ongezeko la watu kwa mwaka ni 1.9% na ujazo wa watu kwa kilomita za mraba 106. Kwa sasa wilaya inakadiliwa kuwa na watu 462,663 kati yao wanaume ni 237,203 na wanawake 225,460 (makisio ya takwimu ya Taasisi ya Taifa kuishia mwezi Desemba 2016)      

1.4: Hali ya Hewa.

Wilaya ya Kwimba kwa sehemu kubwa ni tambarare, mabonde na miinuko michache na vilima vya hapa na pale. Hali ya hewa ya Wilaya hii  ni ya ukame kwa ujumla, ambapo mvua ni haba, haziaminiki au kutabirika kwa urahisi. Wastani wa mvua kwa mwaka ni milimita 700-1200. Kiwango cha joto ni nyuzi 250-330C kwa mwaka; na pepo kavu karibu mwaka wote. Majira ya hali ya hewa yamegawanyika katika sehemu kuu tatu yaani majira ya mvua ya muda mfupi (vuli) ambayo huanza katikati ya Oktoba hadi Desemba, majira ya kipindi kirefu cha mvua (masika) ni katikati ya Februari hadi Mei na majira ya kipindi kirefu cha jua ni kati ya Juni hadi katikati ya Oktoba.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.