• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

DC KWIMBA AKABIDHI VITABU 5345 NA VIFAA VYA MAABARA KWA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI

Posted on: July 17th, 2020

Mhe: Senyi S.Ngaga Mkuu wa Wilaya ya Kwimba amekabidhi vitabu 5345 na vifaa vya maabara kwa Wakuu wa shule zote za sekondari za Wilaya ya Kwimba. Katika Hafla hiyo DC amemshukuru Raisi wa Tanzania Dkt.John Joseph Magufuli na Wizara ya elimu kwa kuuona umuhimu wa kuleta vitabu na vifaa vya maabara katika Wilaya ya Kwimba.Aidha DC amewasisitiza wanafunzi waliokuwepo kama wawakilishi wa wanafunzi wote kusoma kwa bidii na kuvitumia vitabu na vifaa hivyo vilivyotolewa ili vilete manufaa katika elimu yao kwa kuwaongezea ujuzi na maarifa,pia amewataka wanafunzi hao kuitunza miundombinu ya shule zao vizuri ili idumu kwa kipindi kirefu.


Nae Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Bib.Pendo Malabeja  ameishukuru serikali kwa kuleta vitabu na vifaa vya maabara na akasema vitabu hivyo vitatumika kuongeza ufaulu,pia amesisitiza kuwa kupitia vitabu hivyo vitasaidia kutokomeza ziro katika Wilaya hii.



Afisa Elimu wa Sekondari Mwalimu Emmanuel Katemi akisoma taarifa fupi mbele ya mgeni rasmi amesema vitabu hivyo vilivyoletwa  vitasaidia kuongeza  kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi kwa mitihani ya ndani na mitihani ya Taifa,ufauru utakaoongeza ari ya wanafunzi kupenda masomo hasa ya sayansi.Vitabu 5345 vilivyokabidhiwa ni vya masomo ya History 2234 na Geography 2234 kwa kidato cha kwanza na cha pili, Bam 65,Biology 82,Chemistry 220, Kiswahili 368, Physics  92 kwa kidato cha tano.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

    May 18, 2025
  • WAUGUZI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

    May 12, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEIMOSI YAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 01, 2025
  • MKURUGENZI AWATAKA WATUMISHI WOTE KUFANYA KAZI KWA UPENDO NA UADILIFU

    April 28, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.