• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

FISTULA INATIBIKA

Posted on: April 17th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe Ng'wilabuzu Ludigija. awaahidi ushirikiano wataalamu kutoka Amref wanaofanya kazi katika kitengo cha Fistula ya Uzazi ambao wamefika Wilayani Kwimba kutoa elimu kwa viongozi juu ya namna ya kuwasaidia wagonjwa wa fistula na jinsi ya kuwaibua.


Akiwasilisha taarifa Meneja wa mradi huo Ndugu Gaspery Misungwi amesema taasisi hiyo inaelekea kukamilisha mradi huo kwa awamu ya tatu ambao itakamilika mwezi oktoba 2025, ambapo mpaka sasa wametibu wagonjwa 12 kwa Wilaya ya Kwimba na 180  kati ya 284 wanaotarajiwa kutibiwa kwa mkoa wa Mwanza.


Wataalamu hao wameshauri wanawake wenye ugonjwa wa fistula kutojificha ndani au kukimbilia kwa waganga wa tiba asili wakizani wamelogwa badara yake waende hospitali ya Bugando ambapo watapata huduma ya upasuaji bure na baada ya kupata huduma watasaidiwa elimu ya ujasiriamali ili wakaweze kuendeleza maisha yao.


Fistula ya uzazi ni ugonjwa unaosababishwa na uzazi pingamizi anaoupata mama mjamzito wakati wa kujifungua pindi anapokosa huduma nzuri au usaidizi wa daktari wakati wa kujifungua, pia huwapata hasa wale wanaojifungulia nyumbani.


Wananchi wote wameshauriwa kutewatenga wagonjwa wa fistula wala kuwanyanyapa bali wasaidiwe kufika katika vituo vya afya ili wapate usaidizi wa kufika katika hospitali ya Bugando kwaajili ya upasuaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • KWIMBA YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUOANDA MITI

    April 26, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUTUMIA KAMATI YA USHAURI WA KISHERIA ILI KUONDOA MALALAMIKO

    April 22, 2025
  • MADIWANI WAHIMIZWA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    April 17, 2025
  • FISTULA INATIBIKA

    April 17, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.