• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MAKAMU WA RAIS MHE.PHILIPO MPANGO AWATAKA TANRODS KUONGEZA KASI YA UJENZI WA BARABARA YA LAMI YA MAGU-NGUDU - HUNGUMALWA

Posted on: April 11th, 2023


 Makamu wa Rais Mhe.Dkt Philip Isdor Mpango amemtaka mhandisi wa barabara Tanrods kuongeza kasi ya ujenzi wa barabara ya Magu-Ngudu - Hungumalwa ambayo imeonekana kuwa ndicho kilio kikuu cha wananchi wa Wilaya ya Kwimba.


Makumu wa Rais ameyasema hayo leo April 11,2023 wakati alipokuwa akisalimiana na Wananchi wa Kata ya Hungumalwa wakati akipita kuelekea Wilaya ya Misungwi.


Aidha Mheshimiwa Mpango amewapongeza Wananchi wa Kwimba Kwa kuendelea kufanya kazi nzuri na kushiriki kusimamia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa Wilayani hapo


'niwapongeze Wananchi wa Wilaya ya Kwimba hongereni kwa kazi nzuri katika kilimo,mifugo mnafanya vizur hata Afya zenu zinasadifu hilo" amesema Mpango


Mheshimiwa Mpango amewataka Wananchi wote kuhakikisha wanasimamia fedha zote zinazoletwa kwaajili ya utekelezaji wa maendeleo zifanye kazi iliyokusudiwa, amewataka viongozi kuhakikisha fedha hiyo haipotei hata shilingi


 " viongozi hakikisheni fedha hii haipotei hata shilingi simamieni vizuri nataka kuona Mkoa wa Mwanza haupati taarifa mbaya kutoka Kwa mkaguzi na mdhibiti Mkuu wa hesabuza  Serikali"

vilevile Makamu wa Rais amesisitiza upandaji wa miti Ili kutunza mazingira na kuepukana na madhara yanayosababishwa na uhalibifu wa mazingira.


Nao wahe.Wabunge wa majimbo ya Kwimba na Sumve wamemshukuru Mheshimiwa Rais kwa fedha anazoleta za kutekeleza miradi mbalimbali,pia  wametoa kilio chao cha kuomba kujengwa barabara ya lami ya Hungumalwa- Ngudu - Magu na barabara ya Mabuki Ngudu ambapo Mbunge wa Jimbo la Sumve ameanza kuomba na Mbunge wa Jimbo la Kwimba akakazia


" Wilaya yetu haina barabara ya lami ya kuiunganisha  na Wilaya nyingine au Wilaya na barabara kuu tunaomba barabara hii, naomba nikuombe barabara ya Msingi kabisa Kwa uchumi wa Kwimba barabara inayotokea Isandula Magu inapita Ngudu mpaka hapa Hungumalwa, barabara hii inaurefu wa kilomita 71 na Iko ukurasa wa 70 wa ilani ya chama cha Mapinduzi, nakuomba sana katika bajeti ya mwaka huu ianze kujengwa Kwa kiwango cha lami" amesema  Kasalali Mbunge Jimbo la Sunve

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

    May 18, 2025
  • WAUGUZI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

    May 12, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEIMOSI YAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 01, 2025
  • MKURUGENZI AWATAKA WATUMISHI WOTE KUFANYA KAZI KWA UPENDO NA UADILIFU

    April 28, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.