• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WAALIMU WATAKIWA KUTENDEA HAKI TAALUMA ZAO

Posted on: February 11th, 2022


Ameyasema hayo leo tarehe 11/02/ 2022 kwenye Kongamano la Walimu wa kike,lililofanyika kwenye  ukumbi wa Chama Cha Walimu Kwimba.


Katika kongamano hilo Mkuu wa Wilaya Mhe. Johari Samizi aliyekuwa Mgeni rasmi  katika tukio hilo amewaeleza majukumu makuu matano ya mwalimu ambayo ni jukumu la malezi kwa mtoto(mwanafunzi) amesema bila malezi bora ya Wanafunzi kinaweza kutokea kizazi goigoi, kisichoweza kufanya mambo vizuri hivyo amewataka kutimiza jukumu hilo kwa ufasaha.


Aidha Mheshimiwa Samizi amewasisitiza  kuitendea haki Taaluma yao kama inavyotakiwa kwa kufundisha kwa moyo wote bila kujali mazingira na changamoto zinazojitokeza katika mazingira yao ya kazi. Amesema  kuitendea haki taaluma hiyo kitu kitakachowafanya kutambulika na kuheshimiwa na jamii kwa kazi hiyo,


" Walimu wa zamani walikua wanajipambanua kiasi kwamba walijulikana sana kwa kuwa waliipenda kazi yao na waliitenda kwa moyo niwaombe na nyie mfundishe watoto wetu kwa moyo na mjipambanue kwa kazi yenu jamii iwatambue na itambue mnachokifanya" amesema Samizi


Majukumu mengine ni kuwajibika kwa jamii, kuwajibika kwa mwajiri na kuwajibika kwa Taifa. Mkuu huyo amesisitiza kuwa Walimu ni kiyoo cha jamii kwani Taifa la kesho litatokana na malezi bora ya Walimu  kwasababu wanafunzi wanatumia mda mwingi wakiwa na Walimu kuliko wazazi wao hivyo Ualimu wao utumike vyema kuifanya kazi ya kulijenga Taifa na kutengeneza viongozi bora wa badae.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

    May 18, 2025
  • WAUGUZI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

    May 12, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEIMOSI YAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 01, 2025
  • MKURUGENZI AWATAKA WATUMISHI WOTE KUFANYA KAZI KWA UPENDO NA UADILIFU

    April 28, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.