• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MWENYEKITI WA HALMASHAURI ASHAURI CHANGAMOTO ZITATULIWE PAMEMA

Posted on: April 17th, 2025

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Mhe. Thereza Lusangija amewasisitiza waheshimiwa Madiwani kutafuta suluhisho la changamoto mapema pindi zinapojitokeza badara ya kusubiri kuziwasilisha changamoto hizo kwenye baraza.


Amayasema hayo kwenye baraza la Madiwani robo ya tatu ya mwaka 2024/25 siku ya kwanza ambapo taarifa za Kata na Taasisi mbalimbali zimewasilishwa.


 Aidha waheshimiwa Madiwani wamemtaka Meneja wa RUWASA kuongeza juhudi katika kuwahimiza wakandarasi wanaojenga miundombinu ya maji Kata ya Nyamilama kukamilisha mradi huo ili kuondoa adha ya upatikanaji wa maji inayowakabiri wananchi wa Kata hiyo


" kila tukiwasilisha changamoto ya huyu mkandarasi majibu ni hayohayo tunataka huu mradi ukamilike Wananchi wapate maji" amesema Diwani wa Kata ya Nyamilama Mhe. Mgelegele


Katika mkutano huo Tanesco wameshauriwa kuzingatia maeneo yenye taasisi na majengo muhimu ya Serikali wanaposambaza umeme kwenye ngazi ya vitongoji ili kufikisha huduma maeneo ya hayo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • KWIMBA YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUOANDA MITI

    April 26, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUTUMIA KAMATI YA USHAURI WA KISHERIA ILI KUONDOA MALALAMIKO

    April 22, 2025
  • MADIWANI WAHIMIZWA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    April 17, 2025
  • FISTULA INATIBIKA

    April 17, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.