• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WALIMU WAPONGEZWA KWA KUONGEZA UFAULU

Posted on: August 9th, 2023



Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mheshimiwa Ng'wilabuzu Ludigija  amewapongeza Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari kwa kuongeza ufaulu wa mitihani ya Taifa huku msiitizo ukiwa kwa walimu ambao hawajapata tuzo na zawadi kwenda kuongeza kasi ya ufundishaji ili waoengeze ufaulu katika Shule zao.


Pongezi hizo zimetolewa leo Agosti 9,2023  katika kikao cha tathimini ya Elimu kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ambapo Mkuu wa Shule ya Sekondari Sumve Bi. Clotilda Komenkesha ameibuka mshindi wa kwanza kwani Shule yake imekuwa ya nane Kitaifa katika Shule za wasichana katika matokeo ya kidato cha sita 2023.


Kupitia kikao hicho Mkuu wa Wilaya amewataka Walimu wote kwenda kufanya kazi kwa bidii na kuhakikisha kila mmoja anatimiza wajibu wake ili Shule zote ziweze kuwa na ufaulu kama wa Sumve Sekondari au zaidi


" leo tumefurahi kuwapongeza wote ambao Shule zenu zimefanya vizuri lakini Kuna wachache ambao bado hawajafikia kiwango tunachokitaka, niwaelekeze wote kwenda kuongeza kasi ya ufundishaji ili tukikutana katika mwaka mwingine tuwe na Shule nyingi zilizoingia kumi bora Kitaifa" Ludigija


Aidha Mkuu huyo ameitumia nafasi hiyo kuwaelekeza Walimu wakuu na wakuu wa Shule kwenda kuweka mikakati itakayowezesha wanafunzi kupata chakula shuleni

" swala la chakula shuleni siyo jambo la hiari ni lazima kwahiyo mkaweke mikakati ya kukutana na wazazi mkubaliane namna bora ya upatikanaji wa chakula shuleni, haiwezekani mwanafunzi asome na njaa harafu utegemee afaulu mtihani, watoto wapate chakula shuleni" amesema Ludigija


Akiwasilisha taarifa ya maendeleo ya Elimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi. Happiness Msanga amewapongeza Walimu wote walioongeza ufaulu katika masomo wanayofundisha. Pia amesema Halmashauri inaedelea na mikakati ya kuongeza ufaulu kwa kutoa hamasa na motisha kwa walimu wanaofanya vizuri.


Katika hafla hiyo zawadi za fedha,vyeti na ngao vimetolewa kwa walimu na Shule zilizofanya vizuri ambapo Shule za msingi zilizoonekana kuongoza katika matokeo ya darasa la nne na lasaba ni Mwamapalala na Ndagwasa na Shule za Sekondari zilizoongoza  ni Sumve na Nyamilama.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

    May 18, 2025
  • WAUGUZI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

    May 12, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEIMOSI YAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 01, 2025
  • MKURUGENZI AWATAKA WATUMISHI WOTE KUFANYA KAZI KWA UPENDO NA UADILIFU

    April 28, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.