• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WALIOKUWA WAHANGA WA FISTULA WASHUHUDIA JINSI WALIVYOTIBIWA BURE

Posted on: February 26th, 2021

Wananchi wa kata ya Hungumalwa na Bungulwa wanufaika na Elimu ya Ugonjwa wa Fistula iliyotolewa tarehe 23 na 25,Februari 2021 kwenye maeneo ya minada ya Kata hizo na wawezeshaji kutoka Shirika la AMREF, Shirika la Maperece wakishirikiana na Wataalam mbalimbali kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba.

Wataalam hao wamesema Fistula ni hali ya kuwa na tundu lisilo la kawaida linalotokea  kati ya kibofu cha mkojo au njia ya haja kubwa na uke au vyote kwa pamoja na kusababisha kutokwa mkojo  au haja kubwa bila kujitambua.

Mwanamke mwenye fistula hutokwa na mkojo au haja kubwa au vyote kwa pamoja kupitia njia ya uzazi  bila kujizuia, wamesema kuwa ugonjwa huo hutokana na  mwanamke mjamzito anapotaka kujifungua kupata uchungu kwa mda mrefu na uzazi pingamizi.bila kupata huduma ya dharura ya uzazi.

Waliokuwa wahanga wa Fistula wametoa ushuda jinsi walivyo pata matibabu ya upasuaji katika Hospitali ya Bugando bure bila kulipia gharama yoyote 'ninaishukuru Serikali na Shirika la AMREF na MAPERECE kwa kunisaidia nimetibiwa ugonjwa uliokuwa umenisababishia kutengwa na mme wangu,na jamii kwa sababu nilikua na harufu mbaya sana ambayo nilidumu nayo kwa miaka mitano lakini sasa ninafuraha maana nimepona ninaishi kama wanawake wengine,amesema Suzana Yona

Bi. Suzana Yona, aliyekuwa mhanga wa Fistula

Aidha wataalamu hao wamewashauri wananchi kutowaficha wagonjwa wa fistula na wamesisitiza kuachana na imani potofu kuwa ugonjwa huo unatokana na imani za kishirikina na vitu vingine vinavyoendana na hivyo pia wamewasisitiza wanawake kuhudhuria kliniki pindi wanapokuwa wajawazito ili kujua  maendeleo ya Mtoto anayekuwa tumboni , wameelekeza kuwa matibabu ta fistula yanafanyika kwenye hospitali ya Bugando tu kwa Mkoa wa Mwanza ila kwa Mikoa mingine ziko Hospitali zilizoteuliwa kwaajili ya matibabu hayo.

Mratibu wa Fistula (W) Bi. Salome Malale



Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

    May 18, 2025
  • WAUGUZI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

    May 12, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEIMOSI YAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 01, 2025
  • MKURUGENZI AWATAKA WATUMISHI WOTE KUFANYA KAZI KWA UPENDO NA UADILIFU

    April 28, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.