• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WATUMISHI TUFANYE KAZI MIGOGORO HATUITAKI "DAS KWIMBA"

Posted on: February 2nd, 2021

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kwimba Ndug.Nyakia Ally amewataka viongozi wa vyama vya wafanyakazi kuwasisitiza watumishi wote kufanya kazi na kila mtu kutimiza wajibu wake, haya yamejitokeza leo tarehe 02/02/2021 kwenye baraza la wafanyakazi ambapo Katibu Tawala alikuwa mgeni rasmi akimuwakirisha Mkuu wa Wilaya.

Katika kikao hicho  Katibu Tawala amewataka watumishi wote kufanya kazi kwa bidii na kuepuka migogoro kazini,vilevile amewataka watumishi wote kuwa tayari kuonyana na kuwa tayari kuonywa pale mtu anapokuwa nje ya utaratibu na amesisitiza maonyo yafanyike kwenye vikao vya kawaida vya kisheria 

Aidha amewataka watumishi kuwa waadilifu hasa wale wanaojihusisha na majukumu mengine wayafanye baada ya muda wa kazi, pia amemtaka Afisa utumishi kufuatilia watumishi wasiofanya kazi masaa yote ya kazi ili wachukuliwe hatua.


Mwenyekiti wa kikao hicho ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri Bib.Pendo Malabeja amesisitiza watumishi wote kupendana,kuheshimiana na kufanye kazi kwa mujibu wa sheria za ajira , pia amewataka viongozi wa vyama vya wafanyakazi  waliohudhuria kikao  kuwa mabalozi kwa watumishi wengine.

Bib Pendo Anangisye Malabeja Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kwimba

Muwezeshaji wa kikao hiki Ndug.Goodluck Luginga Afisa Kazi kutoka kwa kamishina wa Kazi  amesema Baraza la watumishi ni kilainishi kati ya mwajiri na watumishi hivyo baraza hili linapaswa kutumika kama chachu ya maendeleo kwa Halmashauri na watumishi wote.

Goodluck Luginga Afisa Kazi kutoka kwa Kamishina wa Kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

    May 18, 2025
  • WAUGUZI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

    May 12, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEIMOSI YAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 01, 2025
  • MKURUGENZI AWATAKA WATUMISHI WOTE KUFANYA KAZI KWA UPENDO NA UADILIFU

    April 28, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.