Posted on: November 20th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mheshimiwa Ng'wilabuzu Ludigija amewashauri wafanyabiashara kushirikiana na Serikali ili kurahisisha huduma wanazotoa na kujenga uchumi
" wajumbe mlioshir...
Posted on: November 17th, 2023
Chuo cha maendeleo ya Wananchi ( FDC) Malya kimefanya mahafali ya 48 ambapo wanafunzi 266 wamehitimu kozi mbalimbali ikiwemo ufundi wa magari, ufundi Bomba, ufundi wa umeme, uf...
Posted on: November 11th, 2023
Wananchi wa Kijiji cha Mwang'ombe Kata ya Hungumalwa wanatarajia kunufaika na huduma za Afya zilizoanza kupatikana Leo November 11,2023 baada ya Zahanati hiyo kufunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya...